Pages

Thursday, October 6, 2011

kamuzi la Extra Bongo Ndani ya Club Masai jijini Dar

Kiongozi wa Bendi ya Extra Bongo Next Level,Ali Choki (kati) akiwa sambamba na mwimbaji mkongwe,Rogat Hega Katapila pamoja na waimbaji wengine wa bendi hiyo katika moja ya onyesho walilolifanya kwenye Klabu ya Masai iliopo Ilala Jijini Dar es Salaam.
Wacheza shoo wa Bendi ya muziki wa Dansi ya Extra Bongo Next Level wakicheza wakati wa onyesho walilolifanya kwenye Klabu ya Masai zamani Galapo Ilala Jijini Dar es Salaam.
Mwimbaji wa Bendi ya muziki wa Dansi ya Extra Bongo Next Level,Bob Kissa (wa pili kushoto) akicheza sambamba na wacheza shoo wa Bendi hiyo wakati wa onyesho walilolifanya kwenye Klabu ya Masai zamani Galapo Ilala Jijini Dar es Salaam.
Taswira zote kwa Hisani ya mtaa kwa mtaa Blog

0 comments: