Baada ya tamasha la Mtikisiko 2011 linaloendeshwa na kituo cha radio Ebony Fm ijumaa ya tarehe 28 mwaka huu tamasha hilo la Mtikisiko 2011 linataraji kutikisa katika mji wa Makambako wilaya Njombe kwenye viwanja vya Amani.
WAZIRI KIKWETE KUFANYA ZIARA YA SIKU TATU MKOANI SONGWE
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment